- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter
Shirika la kutetea haki za binaadam la Human Rights Watch, limetuhumu majeshi ya Umoja wa Afrika yaliyopo Somalia kwa kubaka wanawake na wasichana, na pia kudai ngono ili kuwapa chakua cha misaada.(MC)
Human Rights Watch imesema wanawake walinyanyaswa kijinsia wakati wakitafuta huduma za afya au maji katika kambi za Umoja wa Afrika. AU imesema itachunguza tuhuma hizo. Wanajeshi wapatao elfu ishirini na mbili kutoka mataifa kadhaa yamekuwa yakipambana na al-Shabaab nchini Somalia kwa miaka saba iliyopita.
No comments:
Post a Comment