Mwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto
amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon zilizondaliwa mapema
leo mjini Berlin nchini Ujerumani.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa
miaka 30 alishinda mbio hizo kwa muda wa saa mbili,dakika na sekunde 57
ambapo aliivunja rekodi ya awali kwa sekunde sita
Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.
No comments:
Post a Comment