Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, September 29, 2014

Tumi anaporomosha mistari kutoka A.Kusini

Share on facebook,Share on gmail,Share on twitter

Tumi anaporomosha mistari kutoka A.Kusini


Msanii mtunzi wa nyimbo na mashairi kutoka Afrika Kusini
Ajabu ni kuwa wimbo wake huu ulitokana na mende.
Alikuwa ameketi jikoni akamuona mende mara huyo mende akatoweka ,akajichomeka ndani ya mwanya ilikuepuka dhoruba yake.
Ngoma hii iko katika Album yake Solo ya Rob the Church aliyoitoa Agosti mwaka huu.
Album hii ilifuatia ziara yake katika mataifa mbalimbali Afrika akirekodi filamu kwa jina ''Afrique'' na inamuingiliano wa rap na Afrobeat,,,,Burudika

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG