Msanii mtunzi wa nyimbo na mashairi kutoka Afrika Kusini
Ajabu ni kuwa wimbo wake huu ulitokana na mende.
Alikuwa ameketi jikoni akamuona mende mara huyo mende akatoweka ,akajichomeka ndani ya mwanya ilikuepuka dhoruba yake.
Ngoma hii iko katika Album yake Solo ya Rob the Church aliyoitoa Agosti mwaka huu.
Album
hii ilifuatia ziara yake katika mataifa mbalimbali Afrika akirekodi
filamu kwa jina ''Afrique'' na inamuingiliano wa rap na
Afrobeat,,,,Burudika
No comments:
Post a Comment