- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on Gmail_share Share on twitter
Mlipuko
wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa kitisho cha dunia, wakati huko
Sierra Leone kukiripotiwa kifo cha daktari wa nne, mwanamke, wanasayansi
wa Chuo Kikuu Cha Oxford cha nchini Uingereza wameitaja Tanzania kuwa
ni miongoni mwa mataifa 15 yaliyo katika hatari ya kukabiliwa na mripuko
wa ugonjwa huo hatari.
No comments:
Post a Comment