- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
Bondia
Elick Mwenda kushoto wa Malawi akikwepa ngumi wakati wa mpambano wake
na bondia Allybaba Ramadhani uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita
Allybaba alishinda kwa pointi mpambano huo Picha na TUPAMBANE BLOG
Bondia Raymond Mbwago kushoto akipambana na Iddi Pialali wakati wa mpambano wao uliofanyika Moshi katika ukumbi wa YMCA Hall Pialali alishinda kwa K,O ya raundi ya Nne picha naTUPAMBANE BLOG
Allybaba Ramadhani(t.k)
Bondia
Raymond Mbwago kushoto akipambana na Iddi Pialali wakati wa mpambano wao
uliofanyika Moshi katika ukumbi wa YMCA Hall Pialali alishinda kwa K,O
ya raundi ya Nne picha na SUPERD BLOG
Bondia
Shomari Milundi kushoto akipambana na Saimoni Zabron wakati wa mpambano
wao uliofanyika Moshi mpambano huo walitoka Droo ya kufungana point
picha na TUPAMBANE BLOG
Shomari Milundi kushoto na Simon Zablon wakinyooshwa mikono juu na refarii Pembe Ndava kuashiria Doroo picha na TUPAMBANE BLOG
Bondia
Said Yazidu kushoto akipigwa ngumi na Djamal Dahou wa Algelia Dahou
alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza ya mpambano huo picha na TUPAMBANE BLOG
Bondia Djamal Dahou wa Algeria akipambana na Said Yazidu Dahou alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza. Picha na TUPAMBANE BLOG
No comments:
Post a Comment