- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter
kurugenzi
wa Fedha, Mipango na Uwekezaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Bw. Deusdedit Rutazaa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)
kuhusu mpango wa kuanza kutoa mikopo ya dawa kwa vituo ambavyo
vimesajiliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. Kulia ni Mkurugenzi wa
Masoko na Utafiti kutoka Mfuko huo Bw. Raphael Mwamoto.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwasikiliza wawasilishaji kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
No comments:
Post a Comment