Tupambane Blog
Read: 26
times
Be the first to comment!
Stori: Imelda Mtema
NI mshangao! Sherehe ya kicheni pati ya staa wa filamu Bongo, Lucy Komba imewashangaza waalikwa wengi baada ya kutawaliwa na vitu vingi vya kiasili tofauti na matarajio ya wengi.
Staa wa filamu Bongo, Lucy Komba.
Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa
wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta jijini Dar
ambapo mbali na watu wa kawaida, wake wa viongozi mbalimbali nchini
pamoja na baadhi ya wasanii wa Bongo Movies walihudhuria.Miongoni mwa matukio ambayo yaliibua mshangao kwa waalikwa ni bibi harusi mtarajiwa (Lucy) kutinga ukumbini hapo akiwa ndani ya baiskeli yenye magurudumu matatu (guta) akiwa na wapambe wake ambao walikuwa peku miguuni.
Kwenye guta hilo lililotengenezewa kibanda cha asili kilichowekwa nyasi juu, Lucy alikaa ndani yake huku wapambe wake wakiwa wameshika nyungo ndogo kuashiria asili ya Mtanzania.
Akiwa kwenye usafiri wa baiskeri ya matairi matatu maarufu kama 'Guta
No comments:
Post a Comment