- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on google_plusone_share Share on twitter
Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online.
TUNAENDELEA na
simulizi ya staa wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q-
Chillah’, wiki iliyopita iliishia pale alipoelezea juu ya kilichomtokea
katika msiba wa msanii wa filamu, Adam Kuambiana, alisema marehemu ndiye
aliyegundua kipaji chake cha kuigiza, songa nayo sasa…
(Anainamisha kichwa chini na kuinua huku machozi yakimlengalenga)
...niliogopa sana lakini niliona sanaa ni sanaa, nilikwenda kumuona na akanijenga kisanii. Alinipa nicheze movie ya JB inaitwa Hukumu ya Ndoa Yangu ambayo yeye (Kuambiana) alikuwa muongozaji (Dairekta), alinipatia vipande vinne, nikavicheza vizuri.GPL (P.T)
(Anainamisha kichwa chini na kuinua huku machozi yakimlengalenga)
...niliogopa sana lakini niliona sanaa ni sanaa, nilikwenda kumuona na akanijenga kisanii. Alinipa nicheze movie ya JB inaitwa Hukumu ya Ndoa Yangu ambayo yeye (Kuambiana) alikuwa muongozaji (Dairekta), alinipatia vipande vinne, nikavicheza vizuri.GPL (P.T)
Kipindi
ambacho nilikuwa naye kambini naweza kusema nilikuwa mtu pekee aliyekuwa
akiniambia matatizo yake kwa pale kambini, siku ya mwisho wa uhai wake
nilitoka katika chumba chake na kumuacha vizuri tu na kuhamia chumba
kingine, baada ya muda wenzangu walinifuata na kuniambia kuwa Kuambiana
amezidiwa, nilijua ni utani kwani nilizoea matani naye sana…
(Anakatisha
maongezi, kimya cha ghafla kinatawala huku akitafakari kitu, machozi
yanaanza kumtoka, macho yanabadilika na kuwa mekundu, kisha anaendelea)
…hadi tunampeleka hospitali bado nilikuwa nikishangaa na kuona imekuwaje ghafla vile, lakini kufika tu nje ya hospitali akaaga dunia. Niseme namshukuru tu kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha kwangu.
…hadi tunampeleka hospitali bado nilikuwa nikishangaa na kuona imekuwaje ghafla vile, lakini kufika tu nje ya hospitali akaaga dunia. Niseme namshukuru tu kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha kwangu.
Q-Chillah akifikiria jambo wakati akihojiwa na Global TV Online.
Nani anakusimamia kwa sasa?
Kampuni ya QS Muhonda ndiyo nimesaini nao mkataba, wanashughulika na mambo yote ya kuniandalia shoo. Nimekaa na wadau chini na kampuni hii na kuelewana kwanza kutafuta amani. Kwa sababu siwezi kuanza kufanya biashara bila kuwa na amani, nataka niwaambie kwanza watu nataka kuwa na amani kwanza ndipo niwaeleze matatizo yangu wajue wapi nimekosea.
(Anajiweka vizuri na kushika vidole vya mikono)
Kampuni ya QS Muhonda ndiyo nimesaini nao mkataba, wanashughulika na mambo yote ya kuniandalia shoo. Nimekaa na wadau chini na kampuni hii na kuelewana kwanza kutafuta amani. Kwa sababu siwezi kuanza kufanya biashara bila kuwa na amani, nataka niwaambie kwanza watu nataka kuwa na amani kwanza ndipo niwaeleze matatizo yangu wajue wapi nimekosea.
(Anajiweka vizuri na kushika vidole vya mikono)
…jana
nimeposti habari ya kurudi kwangu Bongo5 lakini huwezi amini nimepata
shoo mbili mwezi Desemba kutoka Nairobi zikitaka kufanya kazi na mimi
huku nyingine zikiulizia kama nimekufa kwani walikuwa wakisikia vitu
vingi vibaya kuhusu mimi…
(kimya kinatawala, anaonekana kama kutafakari kitu kisha anaendelea kuzungumza)
(kimya kinatawala, anaonekana kama kutafakari kitu kisha anaendelea kuzungumza)
…Nipo hai
sijafa, nilikuwa mbali na vyombo vya habari na huo nakiri ni ujinga
ambao nilikuwa nikiufanya. Mkiwa kama kaka zangu, dada zangu na
waandishi ambao mnanielewa vizuri, mnatakiwa mnisamehe kama walivyo
binadamu wengine, najua nimekosa.
(Anatikisa kichwa kwa masikitiko huku mikono akiitumia kufuta paji lake la uso)
(Anatikisa kichwa kwa masikitiko huku mikono akiitumia kufuta paji lake la uso)
Q-Chillah akipozi na Wahariri wa Magazeti ya Global Publishers, Erick Evarist (kulia) na Siafel Paul (kushoto) baada ya mahojiano.
Atomic Band iliishia wapi?
Wakati namiliki Bendi ya Atomic nilikuwa na miaka 17 au 18. Kwa mtu ambaye hana elimu ya kutosha hawezi kusimamia pale nilipokuwa nimesimama. Sikuweza kujua naiendeshaje kiushindani kutokana na kuwepo kwa bendi kubwa kama Msondo, Twanga Pepeta na kadhalika.
Nilikuja kuhamia Kenya, vyombo nilivigawa kwa kanisa kwa kuona naenda kuanza maisha mapya mengine hivyo kugawa vyombo ni kama kupata baraka za Mungu na ndiyo maana leo hii nipo hapa...
(Ananyamaza tena kisha baada ya muda anaendelea)
..Nilirudi nakuja kukaa na TID (Khalid Mohamed) na kuweka fungu na kumwambia aende Dubai kutafuta vyombo na akavileta, lakini kama binadamu ana tofauti zake kama vile itikadi na malezi na kadhalika. Nilipokuwa na TID nilikuwa sijui kama anatumia unga. Nilijikuta naanza kutumia unga baada ya kuwa na maisha magumu, siyo kwamba nilidhamiria…
(kimya kinatawala)
… yote yamepita na sasa naendelea na maisha mapya baada ya kuachana na madawa ya kulevya zaidi ya miaka miwili.
Ruge na Ridhiwani walinipigania na kunifanya niache madawa ya kulevya, waliniambia watanipa nafasi nyingine ya kufanya muziki.
Wakati namiliki Bendi ya Atomic nilikuwa na miaka 17 au 18. Kwa mtu ambaye hana elimu ya kutosha hawezi kusimamia pale nilipokuwa nimesimama. Sikuweza kujua naiendeshaje kiushindani kutokana na kuwepo kwa bendi kubwa kama Msondo, Twanga Pepeta na kadhalika.
Nilikuja kuhamia Kenya, vyombo nilivigawa kwa kanisa kwa kuona naenda kuanza maisha mapya mengine hivyo kugawa vyombo ni kama kupata baraka za Mungu na ndiyo maana leo hii nipo hapa...
(Ananyamaza tena kisha baada ya muda anaendelea)
..Nilirudi nakuja kukaa na TID (Khalid Mohamed) na kuweka fungu na kumwambia aende Dubai kutafuta vyombo na akavileta, lakini kama binadamu ana tofauti zake kama vile itikadi na malezi na kadhalika. Nilipokuwa na TID nilikuwa sijui kama anatumia unga. Nilijikuta naanza kutumia unga baada ya kuwa na maisha magumu, siyo kwamba nilidhamiria…
(kimya kinatawala)
… yote yamepita na sasa naendelea na maisha mapya baada ya kuachana na madawa ya kulevya zaidi ya miaka miwili.
Ruge na Ridhiwani walinipigania na kunifanya niache madawa ya kulevya, waliniambia watanipa nafasi nyingine ya kufanya muziki.
Q-Chillah akisalimiana na Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Michezo ya Championi, Saleh Ally.
Kuna tetesi kuwa ulitaka kujiua kwa sumu, ni kweli?
(anaonekana kushtuka, anavuta pumzi kisha anajibu)
Haya huwa yanatokea kutokana na maisha magumu. Namshukuru Mungu, Albert Mangwea, Chuji na Niyonzima walinisaidia sana, nilitaka kujinyonga kwa sababu nilikuwa sina ninachoogopa, nawashukuru sana hawa watu niliowataja.
Ngoma gani ambayo unaipenda sana?
(Swali linaonekana kumuingia, anakuna kichwa sambamba na kukohoa kisha anajibu)
Ngoma ninayoipenda ni Dreamer, niliiandika nikiwa na kibatari usiku sana.
(anaonekana kushtuka, anavuta pumzi kisha anajibu)
Haya huwa yanatokea kutokana na maisha magumu. Namshukuru Mungu, Albert Mangwea, Chuji na Niyonzima walinisaidia sana, nilitaka kujinyonga kwa sababu nilikuwa sina ninachoogopa, nawashukuru sana hawa watu niliowataja.
Ngoma gani ambayo unaipenda sana?
(Swali linaonekana kumuingia, anakuna kichwa sambamba na kukohoa kisha anajibu)
Ngoma ninayoipenda ni Dreamer, niliiandika nikiwa na kibatari usiku sana.
Q-Chillah akiwa nje ya ofisi za Global Publishers.
(Kimya kinatawala kwa muda, anainama chini kisha anawaangalia waandishi na baada ya hapo anaanza kujibu)
Ni mambo ya maisha, lakini mzazi ni mzazi na tulisuluhishwa na wazee wa msikiti na wa kanisa. Kwa mara ya kwanza baba yangu alikuja kuniona na kulala kifuani kwangu kwa sababu nililelewa na mama ambaye siyo mzazi wa kunizaa. Baba aliambiwa, alipigiwa simu na viongozi baada ya kuniona nipo hovyo na leo huwezi kuniita kwenye shoo bila kuongea na baba. Namshukuru Mungu hadi sasa, nina watoto watatu na kila mmoja ana mama yake.
No comments:
Post a Comment