- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Mgeni
rasmi afande kanali John Julius Mbungo (katikati) ambaye pia ni
mwanasheria mkuu wa jeshi lakujenga taifa akikagua gwaride.Mgeni rasmi
alimuakilisha mkuu wa jeshi la kujenga taifa kwenye sherehe ya kumaliza
mafunzo ya awali ya kuruti wa JKT kundi la miaka 50 ya muungano
(kujitolea na mujibu wa sheria awamu ya kwanza 2014) katika kikosi cha
841 KJ Mafinga leo. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
kikundi cha kwaya kikitoa burudani
Kijana wa kikundi cha kombati karate akinyanyua ndoo za maji kwa meno
kikundi cha kwata ya singe kikipita mbele ya mgeni rasmi.
Gwaride
rasmi likipita mbele ya mgeni rasmi na kutoa heshima kwa mwendo wa pole
na mwendo wa haraka. (PICHA ZOTE NA FRIDAY SIMBAYA)
MAFINGA JKT LEO NIKIWA NA BAADHI YA WAHITIMU
No comments:
Post a Comment