- Written by Tupambane Blog
-
Share on facebook Share on gmail Share on twitter
John Kerry
Wafadhili
katika mkutano unaoendelea mjini Cairo wameahidi kutoa dola za
kimarekani bilioni tano nukta nne kwa ajili ya Gaza, nusu ya fedha hiyo
ni kwa ajili ya ukarabati kutokana na uharibifu uliofanywa kwa takriban
siku 50 za vita na Israel mapema mwaka huu.
Jumla ya
kiasi hicho cha fedha kilichotangazwa na Waziri wa mambo ya nje wa
Norway Borge Brende ni zaidi ya mabilioni ya dola ya kiasi ambacho Rais
wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas alikiomba.
Nchi ya
Qatar pekee imeahidi kutoa dola bilioni moja. Akizungumza katika mji
mkuu wa Misri Cairo, Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry huu
ni muda wa kusimika mpango wa muda mrefu wa amani.
Tamko
hilo la waziri wa mambo ya nje wa Norway Borge Brende ni zaidi ya dola
bilioni ya zile ambazo raisi Mahmoud Abbas aliziomba.
nchi ya
Qatar pekee imeahidi kutoa dola bilioni moja. Akizungumza katika mji
mkuu wa Misri,Cairo katibu mkuu wa Ikulu ya Marekani John Kery amesema
huu ni wakati sasa wa kusimika mpango wa muda mrefu wa amani ,ili
kuhakikisha heshima ya wapalestina na usalama wa Israel umeimarishwa.Na
akaongeza kuwa ili kufikia malengo hayo hakuna budi mabadiliko makubwa
yafanyike kwanza.
Muda wa
usitishwaji mapigano ndio njia mbadala kwa Israel na heshima kubwa kwa
Wapelestina. Hakuna njia yoyote zaidi ya kuwaridhisha kila upande kwa
madai yao.hatua zaidi za makusudi za kusitisha vita ama usalama wa
Israel ama haki kwa wapalestina huko Gaza.
hahakuna
njia nyingine ya kuwaridhisha ikiwa mwafaka hautafikiwa na mwishowe
kuweka mpango wa muda mrefu wa amani na kuwajengea uwezo wa majaaliwa ya
siku za baadaye.
No comments:
Post a Comment