Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, October 30, 2014

Man City hoi Capital One




Manchester City
Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo viwanjani.
Manchester City ikicheza nyumbani ilijikuta ikiwaduwaza mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 2 bila majibu kutoka kwa Newcastle utd na kutupwa nje kabisa ya mashindano hayo.
Nayo Tottenham hotspurs iliutumia vema uwanja wake wa nyumbani kwa kuichabanga vilivyo kabisa Brighton kwa jumla ya mabao 2-0.
Nayo Southampton ikairarua Stoke City kwa jumla ya mabao 3-2.
Kwa matokeo haya ya sasa, katika robo fainali Chelsea watapambana na Derby, wakati Tottenham watavaana na Newcastle utd. Nayo Liverpool itapepetana na Bournemouth

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG