Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Saturday, October 18, 2014

Mancity yachuana na Totenham

Adebayor
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City huenda wakampuzisha Yaya Toure aliyeichezea timu yake ya taifa, iwapo atakuwa amechoka na badala yake huenda wakamchezesha mchezaji Frank lampard katika nafasi yake.
Vilevile Kilabu hiyo itamkosa mlinzi wake Eliaquim Mangala ambaye ana jeraha la paja.
Timu ya Totenham nayo ina wasiwasi kuhusu mlinda lango wake Hugo Lloris na Nacer Chadli baada ya wachezaji wote wawili kutoka katika mechi za kimataifa na majeraha.
Kyle Naughton yuko nje na jeraha la mguuni huku Emmanuel Adebayor na Nabil Bentaleb wakiendelea kuchun

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG