- kuendesha kampeni za usambazaji habari ili kujulisha umma kuhusu mada zinazohusiana na Umoja wa Mataifa kama vile Malengo ya Maendeleo ya Milenia
- kuandaa midahalo inayohusu mada zinazohusiana na Umoja wa Mataifa mfano katika shule na vyuo vikuu
- Kufundisha juu ya kazi ya Umoja wa Mataifa na kanuni zake katika shule za sekondari
- kufanya mikutano inayofanana na ya Umoja wa Mataifa ambapo wanafunzi hufanya mazungumzo kama yale ya Umoja wa Mataifa kuhusu vitengo vya Umoja wa Mataifa
Monday, October 13, 2014
Shughuli
Labels:
vijana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment