- kuendesha kampeni za usambazaji habari ili kujulisha umma kuhusu mada zinazohusiana na Umoja wa Mataifa kama vile Malengo ya Maendeleo ya Milenia
- kuandaa midahalo inayohusu mada zinazohusiana na Umoja wa Mataifa mfano katika shule na vyuo vikuu
- Kufundisha juu ya kazi ya Umoja wa Mataifa na kanuni zake katika shule za sekondari
- kufanya mikutano inayofanana na ya Umoja wa Mataifa ambapo wanafunzi hufanya mazungumzo kama yale ya Umoja wa Mataifa kuhusu vitengo vya Umoja wa Mataifa
Monday, October 13, 2014
Shughuli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment