- Written by Tupambane Blog
- Tuma Maoni
-
Share on facebook Share on gmail Share on twitter
Fuso likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na basi la Simba Mtoto.
Basi la Simba Mtoto baada ya ajali.
Taswira kutoka eneo la ajali.
Muonekano wa fuso hilo.
BASI la
Simba Mtoto lenye namba za usajili T 501 BRZ lililokuwa linasafiri
kutoka mkoani Tanga kwenda Dar es Salaam limegongana uso kwa uso na fuso
la Mohammed Enterprises lenye namba za usajili T 507 BAE lililokuwa
likitokea jijini Dar leo.
Katika
ajali hiyo, dereva wa fuso amepoteza maisha papohapo huku watu wawili
ambao pia walikuwa katika fuso hilo wamejeruhiwa na kukimbizwa
hospitali.
Ajali hiyo imetokea katikati ya Daraja la Mto Wami mkoani Pwani baada ya fuso kufeli breki
No comments:
Post a Comment