Bondia Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika shule ya uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha
Bondia
Shabani Kaoneka kulia akimtupia konde Obago Kamata wakati wa mazoezi
yaliyofanyika shule ya uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D
Boxing Coach Dar es salaam jana picha na Tupambane
Bondia
Shabani Kaoneka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na
Obago Kamata wakati wa mazoezi yaliyofanyika shule ya uhuru uwanja wa
basket yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha
Bondia
Jumaa Rashid akioneshana ubavu na Juma Biglee wakati wa mazoezi
yaliyofanyika katika uwanja wa shule ya uhuru uwanja wa basket
yaliyokuwa yakisimamiwa na Super D Boxing Coach Dar es salaam jana picha
na SUPER D BLOG
Bondia
Omari Bai kushoto akipambana ya Kelvin Majiba wakati wa mazoezi
yaliyofanyika katika uwanja wa basket shule ya uhuru yaliyokuwa
yakisimamiwa na Super D bOXING coach Dar es salaam jana picha na SUPER D
BLOG
Bondia
Shabani Kaoneka akipambana na Omari Bai wakati wa mazoezi yaliyofanyika
shule ya uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na kochas
Bodia
Obaga Kamata kushoto akipambana na Idrisa Mweta wakati wa mazoezi
yaliyofanyika shule ya uhuru uwanja wa basket yakisimamiwa na Super D
Boxing Coach
No comments:
Post a Comment