Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Saturday, November 22, 2014

Ebola:Fuo za bahari kufungwa Liberia


ufuo wa bahari.

Polisi nchini Liberia wametangaza kuwa watafunga fuko zote za bahari kuanzia tarehe 29 mwezi Novemba hadi pale taifa hilo litakapo tangaza kuwa ugonjwa wa Ebola umemalizwa..
Tarehe hiyo itakuwa ni siku ya taifa la Liberia ya kuadhimisha kuzaliwa kwa raisi aliyeiongoza Liberia kwa miaka mingi William Tubman.
Polisi wanasema kuwa yeyote atakayetumia fuo hizo za bahari atakuwa amekiuka amri hiyo na atachukuliwa hatua za kisheria.
Polisi pia wamepiga marufuku mikutano yote ya umma isipokuwa ya kisiasa.
Karibu watu 3000 wameaga dunia kutokana na ugonjwa w

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG