Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, November 18, 2014

MDAU ASIA KINJENGA APATA DIGRII YA ELIMU YA JAMII (SOSHOLOJIA) CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Asia Kinjenga kulia akiwa na nyuso ya furaha pamoja na mwenzie Felician Francis baada ya kumaliza digrii ya elimu ya jamii katika sosholojia wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni
Asia Kinjenga wa pili kulia akiwa na wahitimu wenzie wa mahafali ya 48 katika chuo kikuu cha Dar es salaam
Asia Kinjenga
Asia Kinjenga akiwa na familia yake
Asia Kinjenga kulia akipongezwa kwa kuvalishwa shada la mauwa na mama yake mzazi Bi, Anchimole Lutengano 
wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni ambapo alipata digrii ya elimu ya jamii katika soshiolojia
Asia Kinjenga katikati akiwa na mama yake mzazi Anchimole Lutengano kulia na bibi yake wakati wa mahafali ya 48 ya chuo kikuu cha Dar es salaam hivi karibuni ambapo alipata digrii ya elimu ya jamii katika soshiolojia

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG