Jana majira ya saa 12 asubuhi Tajiri mmoja amejipiga risasi kifuani na kupoteza uhai hapohapo chanzo cha kujipiga risasi hakijajulikani tutakujulisha kinacho endelea bado tupo kwenye uchunguzi.
|
Hizi ni baadhi ya picha alivyo jipiga risasi majira hayo ya asubuhi |
|
Akiwa amelazwa nyumbani katika sofa kabla ya kupelekwa hospital |
|
Hi ni picha moja wapo inayoonyesha alivyo jipiga risasi |
|
Hapa yuko hospitali mochuari
Endelea kufatilia tutakujuza kwa yanayo endeleo naupate kujua chanzo pia waweza fatilia kwa kupitia no.+255766584461
|
No comments:
Post a Comment