Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Saturday, December 13, 2014

BAADA YA KUTAMBIA HUKO INSTAGRAM HATIMAYE AGNESS MASOGANGE NA CORAZON KWAMBOKA WAKUTANA



Agness Masogange na Mwanadada Mkenya
Corazon Wote wamejaliwa maombo mazuri yenye kuwafanya wanaume wa run
mad, Hawa walianza kusifiana Kupitia Instagram huku wakiwa hawajakutana
uso kwa uso , Agness akiweka picha basi Corazon ata comment na kuisifia
vile vile Corazon akiweka picha Masogange ata comment kuisifu , Wawili
Hao hatimae wameonana South Afrika na Kula Bata Pamoja…..Kwa unavyoona
Who is Cute zaidi?

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG