Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, December 24, 2014

Frank Lampard kusalia Manchester City

wenzako
Frank Lampard
Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anaamini watambakisha kiungo Frank Lampard.
Kiungo huyo mwenye miaka 36 yuko Manchester City kwa mkopo akitokea New York City,lakini Man City wanataka kumbakisha klabuni hapo kwa muda mrefu.
"Frank ni mchezaji muhimu kwa timu natumaini ataendelea kuwepo hapa," alieleza Pellegrini.
Lampard amekua mchezaji muhimu akiwa amefunga magoli 6 katika mechi 15 aliyocheza na anaoneka atakua mbadala wa Yaya Toure ambae ataenda kuliwakilisha taifa lake katika michuano ya kombe la Afrika mwezi Januari.
Man City wanataka kumalizana na Lampard kabla ya timu yke inayomliki hawajaanza na maandalizi ya msimu mpya wa ligi ya Marekani .

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG