Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, December 24, 2014

Woods asubiri msimu mpya kwa hamu

Tiger Woods
Mchezaji wa gofu Tiger Woods ameonyesha furaha baada ya kukabiliana na matatizo ya maumivu.
Wood aliyewahi kuwa mchezaji namba moja wa mchezo huu amekua akisumbulia na maumivu ya mgongo kwa miaka ya hivi karibu.
Mchezaji huyo alirejea uwanjani katika michezo ya Dunia ya gofu amekua na shauku ya kufanya vizuri kuanzia mwaka 2015.
"Mimi nina msisimko zaidi kwa kuwa na afya njema tena nimefanya jitahada katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuikabili hali hii”.
Tiger Woods ameshangazwa na namna alivyoweza kurudi mchezoni na msaada aliokua anapata.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG