Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Saturday, December 13, 2014

LULU AKIFANYA YAKE BUKOBA NI ZAIDI YA BATA HUKU AKIWA NUSU MTUPU AKIWATEGA MABOSI WA KIHAYA!!



Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii

 “Wahaya noma......

Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani
Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa "SAMUWEA" kama unavyoziona hapo juu. Lakini hiyo picha  ya miguu ndio iliua wengi, kwakuitendea haki alifunguka.
“Nishawahi kusema naipenda miguu yangu!????
Wallah Naipenda kwa Moyo mmoja ,oky naendelea kuoga hela..kuoga Maji mwisho Dar Es Salaaam...kwa kina Mutashobya(BUKOBA) ni kuoga Hela tu...!oky bye” Lulu alimaliza.
Picha zote hapo juu. Bongomovies.com inamtakia likizo njema na arejee Dar es salaam salama.



No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG