Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akikabidhi tuzo
ya mwanamichezo bora wa jumla wa mwaka katika mchezo soka ambaye ni mchezaji wa kike Sherida Boniface wakati wa utoaji wa tuzo za wanamichezo bora zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA , kushoto ni Mwenyekiti wa TASWA Bw. Juma Pinto , hafla ya utozji wa tuzo hizo imemalizika usiku huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akipiga picha ya pamoja na wananchezo wa mwaka waliotunukiwa tuzo za michezo zinazotolewa na TASWA usiku huu kwenye ukumbi wa Diambond Jubilee jijini Dar es salaam
ya mwanamichezo bora wa jumla wa mwaka katika mchezo soka ambaye ni mchezaji wa kike Sherida Boniface wakati wa utoaji wa tuzo za wanamichezo bora zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa habari za Michezo TASWA , kushoto ni Mwenyekiti wa TASWA Bw. Juma Pinto , hafla ya utozji wa tuzo hizo imemalizika usiku huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Ali Mohammed Shein akipiga picha ya pamoja na wananchezo wa mwaka waliotunukiwa tuzo za michezo zinazotolewa na TASWA usiku huu kwenye ukumbi wa Diambond Jubilee jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment