Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, December 10, 2014

R.Madrid, Juventus,liverpool ni leo

Liverpool kukipiga na FC Basel usiku wa leo
Liverpool wako kwenye uwanja Michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya itaendelea leo usiku kwa michezo nane kupigwa kwenye viwanja tofauti.
wao wa Anfield wakiwa na kazi moja tu ya kuifunga Fc Basel, katika Mechi yao ya mwisho ya kundi B ili kufuzu kuingia raundi ya Mtoano ya kumi 16 bora.
Usiku huu makundi A hadi D ndio yanacheza Mechi zao za mwisho na tayari Timu 11 zimeshafuzu kucheza Raundi ya Mtoano ya Timu 16,na Jumatano ndio Mechi za mwisho za Makundi zitachezwa ambazo zitatoa Timu 5 zilizobakia za kufuzu .
Nafasi hizo 5 zinagombewa na Timu 11 na miongoni mwao zipo Klabu za Manchester City na Liverpool, huku wenzao Chelsea na Arsenal tayari wameshasonga.
KUNDI A
Juventus v Atletico Madrid
Olympiakos v Malmö FF
KUNDI B
Liverpool v FC Basel
Real Madrid v Ludo Razgrad
KUNDI C
Benfica v Bayer Leverkusenn
Monaco v Zenit Saint Petersburg
KUNDI D
Borussia Dortmd v Anderlecht
Galatasaray v Arsenal

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG