Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, January 22, 2015

AUAWA KWA KUCHOMWA MOTO BAADA YA KUIBA VIATU MKOANI SHINYANGA


Inaelezwa kuwa aliyeuawa alikuwa na tabia za wizi na mara kwa mara alikuwa anapigwa kwa tabia zake na leo zimetimia za mwizi 40
Wakazi wa Shinyanga wakiangalia mwili wa marehemu
Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga akishirikiana na msamaria mwema kusitiri mwili wa marehemu
Mwili wa marehemu baada ya kusitiriwa-Picha na 
Askari polisi akiwa karibu na mwili wa marehemu 


Gari la polisi likiwasili eneo la tukio kuchukua mwili wa marehemu

Wananchi wakiwa eneo la tukio
Mamia ya wakazi wa Shinyanga wakiwa eneo la tukio
Askari wa jeshi la polisi wakichukua mwili wa marehemu
Askari polisi wakiondoka na mwili wa marehemu-
Askari polisi wakiondoka eneo la tukio

Wakazi wa Shinyanga wakiondoka eneo la tukio

Wakazi wa Shinyanga mjini wakiondoka eneo la tukio


Wananchi wakiondoka eneo la tukio baada ya polisi kuondoka na mwili wa marehemu-picha na Kadama Malunde 1 

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG