Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, February 6, 2015

KILIMO CHA MBOGAMBOGA




LEKIDEA inasisitiza Uzalishaji mwingi wa Mbogamboga ambao huwajengea wananchi uwezo wa kimaisha na kibiashara katika kujikwamua na kuondokana na Umaskini.
Kilimo cha Mbogamboga chaweza kusitawishwa vyema pia katika ukanda wetu wote kwa ajili ya wananchi wetu na hata kwa biashara.
Mashamba na Bustani Bora za Mboga - Kabeji, kama inavyoonekana juu, itanufaisha wananchi wetu kwa chakula na biashara.
Bustani za Nyanya zilizostawishwa vyema ni dalili ya mavuno mema.
Nyaya iliyozaa vyema inakomaa vyema, na hunufaisha Mkulima.
Nyanya iliyostawi na kukomaa vyema huwa na Mavuno bora ambayo hukuza kipato cha mwananchi/mkulima.
Uzalishaji mwingi wa Mbogamboga Kwa Biashara huwajengea wananchi wetu uwezo wa kimarika kibiashara katika kujikwamua na kuondokana na Umaskini.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG