Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, February 6, 2015

KILIMO:



LEKIDEA IMEWEKA MIKAKATI MBALIMBALI KATIKA KUHAKIKISHA KUWA KILIMO CHA NA UZALISHAJI WA WANANCHI WANAOISHI UKANDA WETU WOTE WA KIRUA-VUNJO MASHARIKI, ILI KUKUZA KILIMO BORA, CHA UTAALAMU, ILI KUZALISHA BIDHAA BORA, NA ZENYE KUUZIKA, IKIWA NI PAMOJA NA NDIZI BORA, MATUNDA, KAHAWA, MBOGAMBOGA, MAZIWA; NK.
Miche ya Ndizi yafaa kustawishwa vyema ili izae vyema
Ndizi iliyostawishwa vyema huzaa ndizi bora kwa chaluka na biashara
Ustawi unaoonyesha Mafanikio, mikungu miwili au zaidi katika kitalu kimoja
Ndizi kubwa mfano huu ni kutokana na matunzo mema na hivyo kuzidisha uzalishaji kwa ajili ya chakula na biashara, na ufanisi kama huu unawezekana kwa Wananachi wa Ukanda wetu.
Pia Ndizi ikeshavunwa, ni vyema kuchambuliwa na kuhifadhiwa vyema ndani ya Maji safi kwa ajili ya kula au kusafirisha kwa biashara.
Ndizi zikeshazalishwa kwa wingi hufanya Wananchi kuneemeka kwa Biashara na kusafirishwa ndani na nje ya Ukanda wetu na hasa kama Huduma ya Barabara ni nzuri na ya kuaminika. Barabara ni muhimu sana kwa wananchi wetu.
  
Kilimo Bora Cha Mahindi huwezesha Uzalishaji na Mavuno kuwa Bora
Dalili za Mavuno Bora ya Mahindi kwa wananchi wetu hujionyesha mapema
Mahindi yaliyotunzwa kwa Ubora hukomaa vyema na kuwezesha Chakula kiwe cha auhakika.
Mahindi yaliyolimwa kwa ubora, hukomaa na kukauka vyema, na kuwa tayari kuhifadhiwa, au ziada kuwasilishwa masokoni kwa ajili ya biashara, na hii huzidisha kipato cha wananchi na kufuta umaskini.
 
KAHAWA pia ikitunzwa vyema huzaa vyema kwa Manufaa ya Wananchi wetu.
KAHAWA iliyozaa vyema tayari kwa kuchumwa

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG