Zile
picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo
Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata
baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu
bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown
alisema
kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda
upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na
kuzua
hizo
zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka
kwa Wema baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Diamond
Platinum,lakini Aunty Ezekiel ambaye rafiki wa Wema alisema kuwa rafiki
yake huyo alikwenda nchini Afrika Kusini kufanya video mpya ya ngoma ya
Ommy. Hata hivyo picha nyingine zilisambaa Wema akiwa na aliyekuwa mume
wa Zari wakiponda raha nchini humo na kuzua sintofahamu.
No comments:
Post a Comment