Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, February 16, 2015

Liverpool yafuzu robo fainali ya FA

Danniel Sturidge akifunga bao lake
Mabingwa mara saba Liverpool walitoka nyuma na kuishinda Crystal Palace na kufuzu katika robo fainali ya kombe la FA.
Fraizer Campbell alikuwa ameiweka kifua mbele Crystal Palace baada ya kichwa cha Dwight Gayle kupanguliwa na kipa wa Liverpool Simon Mignolet.
Lakini Danniel Sturridge alisawazisha baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Jordan Henderson.
Adam Lallana alifunga bao la ushindi kutoka pasi iliopigwa na Mario Balotelli.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG