Muonekano wa Wasomali baada ya kukamatwa jana Wilaya ya Mvomero, Morogoro.
Polisi akifanya mahojiano na Wasomali hao.
Wakiendelea kutafakali jambo baada ya kukamatwa.
Dereva wa lori lililokuwa limebeba
Wasomali, Koka Ndogo alipohojiwa na polisi alisema, "Nilikuwa natoka
Moshi ambako nilimuacha bosi wangu ili mimi nikirudi Dar. Njiani
nilikutana na wasomari wema hawa ambao kwa umoja wao walinipa shilingi
milioni moja kama nauli ya kuwapeleka mpakani mwa Mbeya. Nilishawishika
kuchuku pesa hizo na kuamu kuchepuka bila bosi kuja na kwenda Mbeya.
"Nilipita njia ya vichochoroni ya Mvomero
ili nitokee Mikumi na kuendele na safari ya Mbeya nilipofika Mvomero
nilikamatwa na 'trafiki' ambaye alituleta hapa kituoni."
No comments:
Post a Comment