Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, March 20, 2015

GARI LA LUINZO LAGONGANA USO KWA USO NA GARI LA MSANGA EXPRESS NA KUUWA WATU WANNE

Watu wa nane wamefariki Dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya Basi la Luinzo lililokuwa likitokea njombe kwenda DSM kugongana na gari la Msanga EXPRESS lililokuwa likitokea morogoro kwenda Mahenge wakati likijaribu kulipita lori lililokuwa mbele yake katika Eneo la hifadhi ya Mikumi Barabara ya Iringa Morogoro hapo jana.



No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG