Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, April 23, 2015

MTANZANIA MAYUNGA ALIVYOZIMIA KENYA BAADA YA KUTAJWA MSHINDI AIRTEL TRACE MUSIC STAR



Mtanzania Nlimi Maunga alizimia kwa furaha wakati akiimba mara baada ya kutangazwa mshindi wa Airtel Trace Afrika na kuwaacha hoi washiriki wengine 12 kutoka nchi za Afrika katika fainali zilizofanyika Naivasha, Kenya mwishoni mwa wiki.
Akon akimpongeza mayunga kwa kuibuka mshindi wa Airtel Trace Music Stars katika shindano la Afrika lililofanyika Naivasha Kenya
Nalimi Mayunga akiimba wakati wa fainali ya shindano la Airtel Trace Music Star la Afrika lililofanyika Naivasha Kenya
Mashabiki kutoka Tanzania wakipepea bendera ya kumshangilia mwakilishi wao Nalimi Mayunga wakati wa shindano la Airtel Trace Music Stars
21 Apr 2015 

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG