Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, May 12, 2015

MDOGO WAKE ADEBAYOR MIKONO JUU…AOMBA MSAMAHA YAISHE


Ndugu wa mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa Facebook na watu wengine wa familia yake.
Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba msamaha kwa makosa aliyofanya na kwamba angependa nduguye arudi katika familia.
Emmanuel Adebayor ambaye pia anaichezea Togo alisema wiki iliopita kwamba mzigo wa kifedha wa kuisadia familia yake pamoja na ugomvi katika familia yake umemuahiribia kazi yake.
Amesema kuwa anazitaka familia nyungine barani Afrika kupata funzo kutoka kwenye hili ishu. Kama unakumbuka kwamba Rotimi alitajwana Adebayor kwa matatizo ya kuwa mwizi wa vitu vya nyumbani pamoja na kwa rafiki zake.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG