Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, May 20, 2015

Ramsey sasa ndio mkufunzi mkuu wa QPR

Chris Ramsey
Kilabu ya QPR imemuajiri Chris Ramsey kama mkufunzi mkuu kwa kandarasi ya miaka mitatu.
Ramsey mwenye umri wa miaka 53 alipewa kazi hiyo hadi mwisho wa mwezi Februari baada ya Harry Redknapp kujiuzulu lakini alishindwa kuizuia kilabu hiyo kusalia katika ligi kuu ya Uingereza.
''Chris alipochukua ukufunzi wa timu hii tayari tulikuwa katika matatizo makubwa'', alisema mwenyekiti wa kilabu hiyo Tony Fernandes.
wachezaji wa klabu ya QPR
Licha ya kushushwa daraja,sisi kama bodi tumefurahishwa na kazi ya Ramsey aliyofanya.
QPR imeshinda mechi tatu kati ya 14 zilizosimamiwa na Ramsey huku wakitarajiwa kucheza mechi ya mwisho dhidi ya Leicester.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG