
Katibu wa
NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa
mashina ya CCM Uingereza ambapo aliwaambia matawi ya CCM nje ya nchi
yawe mawakala wa kuleta mabadiliko ndani ya chama pamoja na
kuwaunganisha watanzania kujikomboa kiuchumi

Baadhi ya
viongozi wa mashina ya CCM Uingereza wakifuatilia mafunzo kutoka kwa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye aliyekuwa akitoa somo juu ya
Wajibu wa Matawi ya CCM nje ya Nchi.

Viongozi wa mashina wakisikiliza kwa makini.(P.T)

Viongozi wa mashina ya CCM nchini Uingereza wakiandika pointi muhimu.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa mashina ya CCM nchini Uingereza .

Katibu wa
NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa kwenye picha ya pamoja na
Viongozi wa mashina ya CCM London nchini Uingereza mara baada ya kutoa
somo linalohusu Wajibu wa Matawi ya nje ya CCM katika ukumbi wa kituo
cha mafunzo Barking,London ya mashariki.

Katibu
wa NEC Itikadi na Unezi Nape Nnauye akijibu maswali mbalimbali kutoka
kwa mwandishi maarufu nchini Uingereza Ayoub Mzee mara baada ya kumaliza
kutoa semina kwa viongozi wa mashina ya CCM nchini Uingereza
No comments:
Post a Comment