Mdau Sidi Mgumia, mwandishi wa gazeti la The African akiwa katika ziara ya siku chache mjini Istanbul, nchini Turkey. Ziara hiyo ni kwa ajili ya kujifunza utamaduni wa nchi hiyo pia kuona namna walivyopiga hatua hatika maeneo mbalimbali ikiwemo ya kiasia, kitamaduni na pia elimu. Na katika kulifanikisha hilo, yeye pamoja na wenzake kutoka Tanzania pamoja na wenyeji wao walitembelea maeneo mbalimbali yakuvutia na yenye historia kwa Waturuki na hata ulimwengu mzima.
Akiwa studio ndani ya Ofisi za S-TV, Instanbul
Akiwa Granda Bazaar
Mdau Sidi Mgumia akiwa na wenzake katika chuo kikuu cha Fatih-Istanbul
Sidi Mgumia akiwa na wanafuzni wa shule ya Msingi ya Fatih
No comments:
Post a Comment