Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Wednesday, January 14, 2015

Mvua yaleta maafa Msumbiji

nzako
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji zimesababisha maafa makubwa ambapo watu kadhaa wamefariki na wengine kupoteza makazi yao.
Serikali ya Msumbiji imetoa tahadhari ya hali ya juu kwenye eneo la kaskazini na katikati mwa nchi hiyo kufuatia mafuriko yaliyotokana na mvua hizo.
Hadi sasa watoto 18 hawajuliani walipo na kuna taarifa watu kadhaa wamesombwa na maji yaliyokuwa yakitiririka katika mto mmoja.
Mawasiliano ya barabara inayounganisha eneo la kati na kaskazini mwa nchi hiyo yameharibika.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG