Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Tuesday, January 13, 2015

Ronaldo atwaa tuzo ya FIFA Duniani 2015

Cristiano Ronaldo mara baada ya kupatiwa tuzo yake
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi katika tuzo ya FIFA kama mwanasoka bora duniani mwaka huu Ikiwa ni kwa mara ya pili mfululizo.
Tuzo hii iliwajumuisha wachezaji wa soka watatu ambao Lionel Messi, Manuel Neuer na Ronaldo ambaye ameibuka mshindi.
Na mfungaji goli zuri la mwaka tuzo hiyo imechukuliwa na mwanasoka kutoka nchini Colombia James Rodriguez ambapo goli hilo lililovunja rekodi ni lile alilofunga Colombia dhidi ya Uruguay mwaka 2014 katika kombe la dunia.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG