Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Thursday, January 15, 2015

Paula Radcliffe kustaafu riadha

Paula Radcliffe
Mwanariadha Paula Radcliffe raia wa Uingereza anatarajia kustaafu kucheza mchezo huo mwishoni mwa mwezi wanne.
Paula mwenye umri wa miaka 41, ambaye alishinda mara tatu katika michuano ya marathoni ya
Radcliffe, ambae aliweka rekodi ya kukimbi kwa masaa mawili dakika 15 na sekunde 25 katika michuano ya mwaka 2003
Mratibu wa riadha wa London Hugh Brasher. “Amesema tumemteua Paula kushiriki michezo ya marathoni kwa mara mwisho kabla hajapumzika”.
Mbio hizo za marathoni zitafanyika tarehe 26 mwezi wa nne.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG