Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, January 16, 2015

Simeone:Torres Mwanaume

Ni mara ya kwanza Torres kuifungia Atletico Madrid tangu ajiunge nayo
Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa ''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli yake ya kwanza tangu alipojiunga na Atletico madrid.
Mchezaji wa kimataifa wa Uhispania Torres alijiunga na Liverpool mwaka 2007.
Torres alijiunga na Atletico mwanzoni mwa mwezi huu na aliifungia klabu hiyo magoli mawili katika dimba la Bernabeo na kutoka sare ya mabao 2-2 ilipokutana na Real Madrid katika michuano ya Copa del rey
Torres naye ameonesha furaha yake na kushukuru wapenzi wake kwa kumuunga mkono.

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG