Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Monday, January 12, 2015

Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao

Van Gaal ajitetea kuhusu Falcao


Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal
Kocha wa Man United Louis Van Gaal amesema uamuzi wa kumuondoa mshambuliaji Radamel Falcao kutoka kwenye kikosi chake ulikuwa wa kiufundi.
Falcao ambaye alicheza mechi tano za awali, alishuhudia timu yake ikipoteza mchezo kwa bao 1-0 walipokutana na Southampton hapo jana wakiwa Old Trafford.
Falcao anaichezea manchester kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu akitokea Monaco lakini amefunga magoli matatu pekee tangu alipojiunga na Manchester mwezi Septemba mwaka jana

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG