Mashabiki waliofurika Dar Live kusherehekea sikukuu ya Idd wakijirusha kijanja na mirindimo ya pwani.
Mwimbaji Leila Yusuf akizikonga nyoyo za mashabiki waliofurika Dar Live kusherehekea sikukuu ya Idd.
Mashabiki kibao wakiwa wamejazana mbele ya steji wakicheza taarab sambamba na waimbaji wa kundi la jahazi (hawapo pichani).
Mlinda mlango wa zamani wa Yanga, Juma Pondamali (kushoto) akilshambulia jukwaa la Dar Live pamoja na wacheza shoo wake.
Waimbaji wa kundi la Jahazi Morden Taarab wakiwa jukwaani wakati wakifanya yao katika sikukuu ya Idd, Dar Live.
Mwimbaji wa Jahazi, Abubakar Soud 'Amigo' akipozi na mama yake mzazi,
No comments:
Post a Comment