Na Gladness Mushi Arusha
SERIKALI inatarajia kuhusisha wizara mbalimbali pamoja na wadau
mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari katika mapambano dhidi ya
ujangili ili kupunguza kasi ya mauji ya wanyama hasa Tembo.
mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari katika mapambano dhidi ya
ujangili ili kupunguza kasi ya mauji ya wanyama hasa Tembo.
Hayo yamekuja mara baada ya wadau wa kupambana na ujangili katika nchi
za kusini mwa Afrika kuwekeana mikakati pamoja na maazimio 20 ya
kupambana na ujangili mapema jana.
za kusini mwa Afrika kuwekeana mikakati pamoja na maazimio 20 ya
kupambana na ujangili mapema jana.
Akiongea mara baada ya kuwekeana maazimio hayo 20 waziri mkuu Mizengo
Pinda alisema kuwa maazimio hayo ambayo ymelenga kupambana na
ujangili wa wanyama yataweza kusaidia sana nchi ya Tanzania endapo
kama wahusika wataweza kuyatekeleza.
Pinda alisema kuwa maazimio hayo ambayo ymelenga kupambana na
ujangili wa wanyama yataweza kusaidia sana nchi ya Tanzania endapo
kama wahusika wataweza kuyatekeleza.
Alidai kuwa maazimio hayo kwa hapa Tanzania hayataweza kwenda yenyewe
badala yake yataweza kuhusisha wizara na vyombo vingi vya habari
iwezekanavyo hivyo basi kuna umuhimu sasa wa wizara ya Mali asili na
utalii kuanza kuanda mikakati hiyo ya kuwajumuisha wadau hao
badala yake yataweza kuhusisha wizara na vyombo vingi vya habari
iwezekanavyo hivyo basi kuna umuhimu sasa wa wizara ya Mali asili na
utalii kuanza kuanda mikakati hiyo ya kuwajumuisha wadau hao
Alidai kwa kuwaunganisha watalamu kutoka katika Wizara na katika
vyombo vingine hapa nchini kutweza kusaidia Tanzania kupata vyanzo ,
mikakati, na hata njia ambazo wanatumia majangili tofauti na sasa
ambapo wizara moja pekee ndiyo inayoshugulikia suala hilo la ujangili.
vyombo vingine hapa nchini kutweza kusaidia Tanzania kupata vyanzo ,
mikakati, na hata njia ambazo wanatumia majangili tofauti na sasa
ambapo wizara moja pekee ndiyo inayoshugulikia suala hilo la ujangili.
“Pamoja na kuwa Nyalandu anafanya kazi kubwa sana ya kupambana na
Ujangili lakini hataweza yeye kama yeye na maazimio haya yaliyowekwa
leo hayatafanikiwa ila kuanzia sasa vita vyaa ujangili vitapambanwa na
watu wengi zaidi na Serikali tupo tayari kuongeza Nguvu zaidi na
zaidi”aliongeza Pinda
Ujangili lakini hataweza yeye kama yeye na maazimio haya yaliyowekwa
leo hayatafanikiwa ila kuanzia sasa vita vyaa ujangili vitapambanwa na
watu wengi zaidi na Serikali tupo tayari kuongeza Nguvu zaidi na
zaidi”aliongeza Pinda
Mbali na hayo Pinda alidai kuwa timu hiyo ambayo itaundwa itaweza
kutoa taarifa zake kila baada ya Miezi sita ambapo taarifa hizo pia
hazitaweza kuishia hapa hapa Tanzania bali zitaenda hadi nje ya Nchi
wanachama wa kupambana na ujangili huo
kutoa taarifa zake kila baada ya Miezi sita ambapo taarifa hizo pia
hazitaweza kuishia hapa hapa Tanzania bali zitaenda hadi nje ya Nchi
wanachama wa kupambana na ujangili huo
“ni aibu kila siku kusikia kuwa Tanzania vita vyake niMeno ya Tembo
wanatushangaa sana watu ni lazima tuamke kuanzia sasa na tupambane
wote na sio ofisi au wizara moja ili hili liweze kuondokana na sisi
kabisa kwani uwezo hatuna?alihoji Pinda.
wanatushangaa sana watu ni lazima tuamke kuanzia sasa na tupambane
wote na sio ofisi au wizara moja ili hili liweze kuondokana na sisi
kabisa kwani uwezo hatuna?alihoji Pinda.
Naye Waziri wa mali asili na Utalii Lazaro Nyalandu alisema kuwa ni
vyema kama Majangili wakaangalia namna na mbinu nyingine ya kuishi
kwani sasa Serikali ipo macho sana na nilazima majangili wote
wakamatwe kwani wanasababisha madhara makubwa sana kwenye maslahi ya
nchi.
vyema kama Majangili wakaangalia namna na mbinu nyingine ya kuishi
kwani sasa Serikali ipo macho sana na nilazima majangili wote
wakamatwe kwani wanasababisha madhara makubwa sana kwenye maslahi ya
nchi.
No comments:
Post a Comment