Blogger Widgets FURSA KWA VIJANA WOTE TUPAMBANE KWA KILA NJIA ILI MRADI TUWEZE KUEPUKA HUU UMASKINI TANZANI NA AMIN KILA ATAFUTAYE KWA NIA HUPATA MAANA ATA MAANDIKO HUSEMA PENYE NIA PANA NJIA

Friday, February 6, 2015

MASTAA WENYE SKENDO ‘LIVE’


JACQUELINE WOLPER
Kati ya mastaa waliofanya vizuri kwenye soko la filamu Bongo mwaka 2010 ni Jacqueline Wolper lakini alitikisa kwa kuandikwa mara kwa mara akihusishwa na skandali mbalimbali.

Moja ya matukio hayo ni ile ya kudaiwa kutoka kimapenzi na chipukizi wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’.

Tukio lingine ni lile alilodai kutaka kubakwa na mtu aliyemsema ni mjomba wake anayeitwa Exaud Macha.

Hata hivyo, baadaye Macha alidai kuwa Wolper ni mpenzi wake na hakuwa na lengo la kumbaka, isipokuwa msanii huyo alitaka kujimilikisha gari lake ndiyo maana alimdai.

Wolper alinaswa na skendo nyingine ambayo ilielezwa kwamba ‘alibondana’ na chipukizi wa filamu, Zuwena Mohammed Yusuf ‘Shilole’, ingawa baadaye walirekebisha tofauti zao.

REHEMA CHALAMILA ‘RAY C’
Staa wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ alinaswa na skendo kadhaa, moja ikiwa ile ya kudai kulazimishwa penzi na promota wa Kenya, Sadat Muhindi.

Hata hivyo, Sadat alikanusha skendo hiyo lakini Ray C hakurudi nyuma, kwani siku chache zilizofuata alitangaza kuachana na mchumba wake aliyedumu naye kwa zaidi ya miaka mitatu, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’.

Ray C a.k.a Kiuno Bila Mfupa pia mwaka huu aliandamwa na mzimu wa kuhama hama makazi kabla ya kuuza nyumba yake na kufungua duka, kisha ikaripotiwa kwamba amerudi nyumbani kwa mama yake, Bunju, Dar es Salaam.

AUNT EZEKIEL ‘GWANTWA’
Super Character wa Kiwanda cha Filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Gwantwa’ aliandika historia mwaka huu kwa kuripotiwa kuhusika na skendo mbalimbali.

Moja ya matukio hayo ni lile la kugombana na msanii mwenzake wa filamu, Jennifer Mwaipaja ‘Shu

No comments:

Post a Comment

TUPAMBANE BLOG