- Written by Tupambane Blog
-
Share on facebook Share on gmail Share on twitter
Gari aina ya Toyota Noah likiwa limepinduka katika ajali hiyo.
Gari aina ya Toyota Hiace iliyogonga kwenye mara baada ya ajali.
Ajali
imetokea jana mchana ktk maeneo ya Airpot eneo linalojulikana kama
Makutano ya barabara ya AIRPORT ARUSHA. Ni baada ya askari polisi
kusimamisha kwa ghafla gari aina ya Toyota Hiace.
No comments:
Post a Comment