- Written by Tupambane Blog
-
Share on facebook Share on gmail Share on twitter
Mkurugenzi wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga
Hivi
karibuni kulifanyika mashindano ya kumsaka mrembo wa Tanzania kwa mwaka
2014 (Miss Tanzania 2014) ambapo Sitti Mtemvu alitangazwa kuwa mshindi.
Baada
ya kutangazwa huko, kukawa na mambo mengi yaliyosemwa kumhusu. Kuanzia
tetesi za kuwa kadanganya umri mpaka elimu. Kuwa kuna rushwa ilitumika
mpaka kusemwa ana mtoto.
Mkurugenzi
wa Lino Angency International Ltd Hashim Lundenga, anazungumza na
mitandai ya Vijimambo na Kwanza Production kuweka bayana KARIBU
No comments:
Post a Comment